Monday, September 1, 2014

RAIS KIKWETE ATEMBELEA WILAYA YA CHAMWINO KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA DODOMA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Fatma S. Ally alipowasili wilayani humo kukagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
  Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
 Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde "Kibajaji"
 Ujumbe toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Msanga
 Kikundi cha utamaduni cha Shule ya Msingi ya Msanga kikitumbuiza
 Rais Kikwete akiangalia ngoma ya Kigogo ikichezwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Rais Kiwkete akiwapongeza wacheza ngoma wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi akishauriana jambo na Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally
 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akitoa taarifa ya Wilaya
 Watendaji wa Wilaya ya Chamwino wakiwa katika kikao na Rais Kikwete
 Rais Kikwete akitoa ushauri na maagizo kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali
 Watendaji wa Wilaya wakisikiliza kwa makini
 Katibu Tawala wa Wilaya ya Chamwino akifafanua jambo
 Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri ambaye ni mwalimu mwenye ulemavu wa macho akitoa maoni yake
 Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) akifafanua juu ya mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni
 Rais Kikwete akitoa ushauri wa njia bora za kuendeleza mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni
 Vijana waliomaliza elimu ya juu na kuamua kujishuhghulisha na mradi wa kilimo wilayani Chamwino wakitambulishwa. Rais Kikwete ameahidi kuwapatia trekta ili kuongeza tija
 Mmoja wa wataalamu wa miradi akitambulishwa 
 Rais Kikwete akisalimiana na Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri
 Rais Kikwete akisalimiana na wahandisi wa mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
 Sehemu ya mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashuari ya wilaya ya Chwamwino
 Wananchi wakifurahia katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Kikundi cha utamaduni cha kinamama kikitumbuiza katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akimkaribisha Rais Kikwete na ujumbe wake
 Katibu tawala wa Wilaya ya Chamwino akitoa muhtasari wa mradi wa ujenzi wa jengo la halmashauri ya wilaya hiyo
 Mbunge wa jimbo la Chamwino Mh. Chibulunje akizungumza katika sherehe hizo ambapo alitangaza nia ya kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwakani
 Rais Kikwete akimpongeza Mbunge wa Chamwino Mhe Chibuluje kwa kutangaza hadharani nia yake ya kutogombea tena nafasi hiyo 
 Rais Kikwete akizungumza na wananchi
 Rais Kikwete na Mbunge wa jimbo la Chamwino Mhe Chibuluje wakifunua kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Vifijo mara baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Rais Kikwete akipata maelezo ya  mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Bango la mradi
 Rais Kikwete akilakiwa na walimu wa Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela alipowasili ili kuzindua  maabara ya masomo ya sayansi
 Rais Kikwete akikaribishwa kwa ngoma  Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela alipowasili ili kuzindua  maabara ya masomo ya sayansi
 Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde Kibajaji akiongea machache wakati wa sherehe za uzinduzi wa maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela 
 Rais Kikwete akizungumza na wananchi wakati wa sherehe za uzinduzi wa maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Rais Kikwete akizindua maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Rais Kikwete akikata utepe kuzindua maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Rais Kikwete akiangala wanafunzi wakiwa mafunzoni baada ya kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Rais Kikwete akiangala wanafunzi wakiwa mafunzoni baada ya kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Wanafunzi wakiwa mafunzoni baada ya Rais Kikwete  kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Rais Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na walimu  baada ya kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela
 Rais Kikwete akiwasili katika Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission
 Rais Kikwete akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission
 Rais Kikwete akiwapa somo wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission
 Rais Kikwete katika picha na walimu na viongozi wa wanafunzi  Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission
 Rais Kikwete akiongea na wananchi baada ya kuwasili mvumi kuzindua mradi wa maji
 Rais Kikwete akiongea na Mbunge wa Mtera Mhe Livingtsone Lusinde
  Rais Kikwete  na Mbunge wa Mtera Mhe Livingtsone Lusinde wakizindua mradi wa maji wa Mvumi
 Rais Kikwete akimtwisha ndoo mmoja wa wakinama baada ya kuzindua mradi wa maji wa Mvumi
 Rais akilakiwa na umati wa watu alipowasili uwanja wa Mvumi kwa mkutano wa hadhara
 Rais Kikwete akipokea zawadi ya mkuki na fimbo 
 Rais Kikwete akimshukuru Mzee Manyweke kwa zawadi
 Zawadi zaidi toka kwa wazee mashuhuri wa Mvumi
 Rais kikwete akipata picha ya pamoja na wazee mashuhuri wa Mvumi 
 Rais Kikwete akipewa zawadi ya mbuzi kutoka kwa vijana wa stendi ya basi ya Mvumi
 Ngoma ya utamaduni
 Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde akiongea na wananchi
 Rais Kikwete akimpongeza Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde 
 Rais Kikwete akihutubia wananchi
 Umati wa wananchi wakimsikiliza Rais Kikwete
 Rais Kikwete akipeana mikono na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde
 Rais Kikwete akipongezwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino
 Rais Kikwete akipeana mikono na Mhe Chibuluje
Rais Kikwete akiagana na wananchi.
PICHA NA IKULU

No comments: