Wednesday, November 25, 2015

UZINDUZI WA WANAHARAKATI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Bendi ya Jeshi la Polisi wakiongoza maandamano ya wanaharakati. 
Wanaharakati kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa na mabango yaokwenye maandamano yaliyoanzia Uzuri Sinza na kuishia katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam leo.

wanaharakati wakiwa kwenye ukumbi katika kupinga ukatili wa kijinsia ulioadhimishwa leo jijini Dar es salaam. 

No comments: